- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Wadau,
Naomba mtu anayefahamu kiundani gharama za kuanzisha kituo cha Tv anifafanulie.
Kikubwa gharama za kununulia mitambo au jinsi ya kupata chanel kwenye vin'gamuzi ambavyo tayari vipo kama Ting, Star times, Azam.
Naomba mtu anayefahamu kiundani gharama za kuanzisha kituo cha Tv anifafanulie.
Kikubwa gharama za kununulia mitambo au jinsi ya kupata chanel kwenye vin'gamuzi ambavyo tayari vipo kama Ting, Star times, Azam.