- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Habari za leo wakuu!!!!
Naombeni msaada kuhusu wapi nitapata bati imara na nzuri za kuezekea.
Nimeenda Nabaki Africa ya hapa Dar lakini bei zao tumeshindwana.
Ni nyumba ya vyumba vitatu iko maeneo ya kigamboni Dar 4 km from baharini.
Nashukuru kwa msaada.
Naombeni msaada kuhusu wapi nitapata bati imara na nzuri za kuezekea.
Nimeenda Nabaki Africa ya hapa Dar lakini bei zao tumeshindwana.
Ni nyumba ya vyumba vitatu iko maeneo ya kigamboni Dar 4 km from baharini.
Nashukuru kwa msaada.