Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Take a break, na tujikumbushe enzi zile za RTD, ambapo kulikuwa hakuna FMs rado kama sasa. Hakika kulikuwa na watangazaji, vipindi bomba na hata nyimbo za kutambulisha vipindi zilikuwa makini sana. Hebu ngoja niwakumbushe baadhi ya watangazaji wa wakati huo.


1. Nassoro Nsekeli- alikuwa na sauti kama ya mafua hivi alikuwa mtaalamu wa kipindi cha Majira- ndiye aliyetangaza kifo cha Nico Zengekala


2. Bujago Izengo wa Kadago- Kibesi chake kilikuwa safi sana


3. David Wakati (DG) - kipindi cha Nipe habari- Kwaherini wote, mungu awalinde na mmbaki salama, mungu akipenda..............


4, Khalid Ponera- Zilipendwa


5. Ahmed Kipozi- taarifa ya habari


6. Hassan Mkumba- matangazo ya vifo


7. Siwatu Luwanda


8. Salama Mfamao

9. Mohamed Amani (Mohamed Dahman)


10. Salim Seif Nkamba


12. CHisunga Steven- kipindi cha Ugua pole duu


13. Bathoromeo KOmbwa (bati Kombwa) - WAkati wa Kazi


14. Ahmed Jongo- Mpira


15. Christina Chokunogela


16. Dominic Chilambo- Mpira


17. Edda Sanga

18. Debora Mwenda- Mama na Mwana

19. Aloycea Maneno- Ombi lako, cheichei Shangazi, mama na mwana


Duu nawamiss sana hawa watu tofauti na watangazaji wa sasa


 
 
Back
Top Bottom