Tanzania Premier League 'TPL' Biashara United dhidi ya Simba SC, Uwanja wa Karume Musoma

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea leo kwa mchezo mmoja kupigwa katika uwanja wa Karume Mjini Musoma, ambapo Biashara United wakiwakaribisha Simba SC


Mchezo huu unatarajiwa kuwa mgumu kwa muda wote wa dakika tisini.


Biashara United, wanahitaji alama tatu ambazo ni muhimu kwao ili wajinasue katika mstari wa kushuka daraja.


Simba SC, wao kwa upande wao wanataka alama tatu ili waweze kuendelea na mbio zao za kutetea ubingwa..!


•••========•••


90' Mchezo umemalizika katika dimba la karume ambapo Simba SC wameweza kuifunga Biashara United mabao mawili bila majibu


Mabao yote yakiwekwa kimiani na John Bocco 34, 41[emoji460][emoji460]


Biashara United 0-2 Simba SC





 
 
Back
Top Bottom