NSSF versus PPF

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wadau!


Kwa sasa nimerudi nyumbani TZ, baada ya kufanyakazi kwa muda mrefu nje ya nchi..... Na kwa bahati nzuri nimepata kazi katika kampuni ya utafiti wa madini kanda ya ziwa, maana mimi mwenyewe ni mtaalamu wa utafiti wa madini na mafuta.


Mwajiri wangu ameniambia ni lazima kujiunga na shirika mojawapo kati ya PPF au NSSF. Sasa nipo kwenye dilema.. Naomba msaada wenu wa kimawazo lipi shirika zuri (huduma nzuri, masharti nafuu na faida nzuri kwa mwanachama) kati ya haya niliyoyataja?


 
 
Back
Top Bottom