- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Habari wakuu niliagiza mzigo wangu wa simu tarehe 22/09 tarehe 23/09 ukatumwa kuja Tanzania kutokea china.
Juzi nilihofia kupoteza nikaandika na uzi humu
Nilitumiwa kwa njia ya posta mzigo ukaingia bongo tarehe 26/09 baada ya hapo ukatumwa kuja mpaka moshi nilipo kwa sasa siku ya ijumaa leo nimeenda posta nikaupata
Nimeagiza zaidi ya mara 40 na cjawah kuibiwa
Niliagiza kupitia mtandao wa aliexpress
Sijatozwa kodi wala chochote sijalipa hata mia.
MSIOGOPE KUNUNUA VITU MTANDAONI KUNA VITU VIZURI SANA HUKO EBAY, AMAZON, ALIEXPRESS NA ALIBABA
Huo ndo mrejesho wangu
Juzi nilihofia kupoteza nikaandika na uzi humu
Nilitumiwa kwa njia ya posta mzigo ukaingia bongo tarehe 26/09 baada ya hapo ukatumwa kuja mpaka moshi nilipo kwa sasa siku ya ijumaa leo nimeenda posta nikaupata
Nimeagiza zaidi ya mara 40 na cjawah kuibiwa
Niliagiza kupitia mtandao wa aliexpress
Sijatozwa kodi wala chochote sijalipa hata mia.
MSIOGOPE KUNUNUA VITU MTANDAONI KUNA VITU VIZURI SANA HUKO EBAY, AMAZON, ALIEXPRESS NA ALIBABA
Huo ndo mrejesho wangu