- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Wakuu - Heshima Mbele
Naomba kuuliza ni zipi tofauti za madaraka na mamlaka kati ya Meya, Mkuu wa Wilaya na Mbunge. Na mipaka yao ni ipi. Pia kati yao ni nani anaongoza vitengo na taasisi gani? Mfano Mzuri ni Meya wa Ilala vs. Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Mbunge wa Ilala (in 2012 ni Jerry Slaa vs Raymond Mushi vs Hassan Zungu)
NB: Kuna tofauti kubwa kati ya madaraka na mamlaka (responsibilities/duties vs. Power)
Naomba kuuliza ni zipi tofauti za madaraka na mamlaka kati ya Meya, Mkuu wa Wilaya na Mbunge. Na mipaka yao ni ipi. Pia kati yao ni nani anaongoza vitengo na taasisi gani? Mfano Mzuri ni Meya wa Ilala vs. Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Mbunge wa Ilala (in 2012 ni Jerry Slaa vs Raymond Mushi vs Hassan Zungu)
NB: Kuna tofauti kubwa kati ya madaraka na mamlaka (responsibilities/duties vs. Power)