Ndo Projects za Graduates? Matikiti Mengi Sana Dar es Salaam yanapatikana kwa Sh.300/=

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 10:37 AMReplies 0 · Views 5
#1
Wakuu nimeshangaa bei ya Matikiti Jana nilivyopita Sokoni na Kununua Tikiti kubwa kwa Tsh. 300/= tofauti na Maneno Mengi ya Kwenye Keyboard yanayosimuliwa na watu wengi ambao wamezaliwa Dar es Salaam ambako hakuna Shamba.


Tukitaka kutoka tufanye Kilimo kwa timing Ikiwemo Mazao ambayo unaweza kuhifadhi hata kama hauna Mteja Matikiti nyanya, Nanasi na Mbogamboga ni Vigumu sana kuyahifadhi.


Supply > Demand = Low Price


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread