- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
, nimekua nikiskia mmea huu unaojulikana kwa jina la mvumbasi hutibu magonjwa mengi, je kunaukweli wowote kuhusiana na tetesi hizo??? Naomba mtufahamishe unatibu nini na maandalizi yake yako vip ktk kila kutibu magonjwa hyo