Mtoto wa miezi minne anatakiwa anywe kiasi gani cha maziwa ya mama?

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 8:16 AMReplies 0 · Views 5
#1
Wakuu, mtoto wa miezi minne anatakiwa anywe at least kiasi gani cha ujazo wa maziwa ya mama kuanzia saa moja asubuhi hadi saa tisa mchana. Tunatumia chuchu za watoto


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread