Mkopo wa mil 35

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:05 AMReplies 0 · Views 5
#1
Wadau, habari zenu?

Naomba mnisaidie kunijulisha ni nani anaweza kunikopesha 35, 000, 000 nitamrudishia 1, 500, 000 kila mwezi kwa miezi 30.

Sina gari, sina nyumba, sina kiwanja.


Nina kazi kama permanent employee katika International company, napata take home 4, 000, 000/= Tshs.

Kazi nimeanza mwezi huu.

Natumia Standard Chartered Bank, wanaweza kunikopesha tu endapo kampuni yangu itakuwa ilishaweka mkataba nao (unfortunately kampuni yangu haitumii bank hii), japo kampuni yangu ilisema inaweza kuipatia details bank ninayopitishia mshahara kuwa mimi ni mwajiriwa wake.


Ni fanyeje? I need some money soon!


Nataka ninunue beach plot Mtwara.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread