Marekani kupewa Kigamboni

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Hivi ni kweli Wamarekani wamezawadiwa eneo la kigamboni in exchange na ujenzi wa Daraja?


Swali langu: Hivi iwapo watajenga hilo daraja, litakuwa ni kwa faida ya Watanzania au wa Marekani watakaokuwa ndiyo wakazi? Je, iwapo hao waMarekani watajenga, je wakazi Watanzania wataendelea kuvumiliwa nao kwenye majengo yao hafifu au watahamishwa?


Nawakilisha


 
 
Back
Top Bottom