Kwa Makala Hii ya Daraja la Kigamboni Mwanakijiji Kachemsha

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Nakala hii imebeba mambo matano makubwa


1. Historia ya daraja la kigamboni

2. Ufisadi

3. Uwezo na tabia ya magufuli

4. NSSF na kutoa misaada

5. UUzwaji wanyumba za serikali


Update:


1. Imeeleweka na muanzisha thread kuwa MMKJJ hakupeleka ile nakala Mwanahalisi, mwanahalisi waliichukua nakala yake kutoka Tanzania Daima na kuifanyia editing


2. Tunajadili sasa nyumba za serikali kwa nini ziliuzwa


3. Umuhimu wa daraja la Kigamboni


My take:


Daraja la Kigamboni halina faida kwa Tanzania ya sasa inayoanzia Kigoma mpaka Dar, inayoanzia Nachingwea mpaka Biharamulo!!! Ukisasa huu tunaoutafuta hatuja tengeneza foundation yake.


Daraja hili ni mradi wa watu wachache ili watimize ndoto yao ya kijenga jiji la kimataifa! Is not ours


MODS NAOMBA TITLE YANGU YA AWALI IRUDI..... I expected this!


 
 
Back
Top Bottom