Biashara ya mchele Morogoro, Shinyanga

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 1:49 AMReplies 0 · Views 0
#1
Habari zenu wakuu,


Napenda kuingia katika hii biashara ya mchele kati ya Morogoro na Shinyanga wapi kuna mchele mzuri na wapi kuna unafuu wa bei kipindi cha mavuno? Bei kwa gunia inakuwaje muda wa mavuno? Mavuno yanaanza mwezi gani?


Nisaidieni wakuu.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread