Biashara ya Mchanga

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:03 AMReplies 0 · Views 0
#1
Wakuu mpo?


Kuna biashara ya kuuza mchanga kwenye malori, kuna watu wananunua pande la ardhi lenye mchanga, kisha wanaomba kibali cha kuuza mchanga. Jamaa anakaa ktk pande lake akikusanya hela kwa kila Lori. Inalipa vizuri na italipa zaidi huko mbeleni. Mapande bado yapo mengi kando ya jiji letu la Dsm.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread