Biashara ya cable TV, Je ipo kihalali?

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 9:20 AMReplies 0 · Views 5
#1
Habari za sahiz. Ningependa kujua HV hii biashara ya cable TV IPO kihalali (tcra) wameiifhinisha? Maana ninachoona ni kama wanawanyonya weny makampun ya ving'amuzi(Azam, zuku, nk) na kama IPO kihalali Nataman kuiazisha. Naomba muongozo kwenu


Sent using Jamii Forums mobile app


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread