Biashara ya bidhaa kutoka China

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Habarini WanaJF,


Nina mtaji wa laki moja na elfu hamsini nataka niagize bidhaa KUTOKA CHINA. Je, ni bidhaa gani nikiagiza itanipa at least faida ya nusu ya mtaji wangu?


Napokea ushauri wenu


Asanteni🙏


 
 
Back
Top Bottom