Arusha hakuna tofali

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
JIJI la Arusha na mitaa yake kuna ukosefu wa matofali mepesi ya block ya kujengea kutokana na mgodi wa kutoa material ya kutengeneza matofali hayo kufungwa na haijulikani lini utafunguliwa,

Yanayopatikana Ni yale matofali mazito ambayo hayatumiwi sana na wananchi wengi kutokana na gharama yake kua juu.


 
 
Back
Top Bottom