Zuchu kuimba MABUNO kuna hatari kubwa kupoteza kizazi kijacho

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 8:11 AMReplies 0 · Views 5
#1
Salaam! Msanii pekee wa kike kutoka wcb amekuwa akitoa mfululizo wa nyimbo ambazo kiutamaduni zinaathiri kizazi chetu cha baadae "honey wangu akinuna namkatia mabuno" imagine watoto wangapi wanaimba hii nyimbo?


Ombi langu kwa Basata msifungie nyimbo zinazokashif mamlaka tu! Camera yenu imulike upande wa hii lebo na kizazi chake wanaibomoa na kuirarua jamii.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread