Ushauri: Biashara ya duka la pembejeo za kilimo

Joined
Mar 14, 2026
Messages
33,422
Wadau, naomba kwa wenye ujuzi/wazoefu wa biashara ya pembejeo za kilimo na mifugo (kama vile madawa, mashudu n. K) anijuze taratibu za kufuata ili kuanzisha duka ikiwa na vigezo vya kitaalamu kama vipo.


Natanguliza shukrani zangu.


 
 
Back
Top Bottom