Uozo wa nssf arusha room #8

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:06 AMReplies 0 · Views 0
#1
Nasikitishwa sana na wafanyakazi wa NSSF Arusha kwani mteja akiingia wanakuona kama msumbufu na

Wao wamebaki wanatafuna maandazi na kuzungumza kwenye simu zao. Hivi kweli ndiyo Ofisi ya kibiashara ilivyo? Mbona wanafanya kazi kama wafanyakazi wa Serikali Kuu.


Ingawa Mkurugenzi Mkuu, Dr. Ramadhani Dau wakati wa Mkutano wa Wadau uliofanyika Arusha, alidai kwamba Ofisi ya Arusha imefanyiwa marekebisho katika utendaji wake. Kumbe ndiyo hamna kitu.


Njoo kesho zimezidi kwa wanaofuatilia madai yao.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread