Unawakumbuka wacheza disco walisumbua enzi hizo?

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:01 AMReplies 0 · Views 0
#1
Habari za jioni wana jamvi, naami ijumaa ya Leo ipo shwari. Leo nimeona tujikumbushe kidogo wacheza disco waliwahi kutamba sana enzi hizo kabla ya kuja hiki kizazi cha bongofleva na Si vibaya tukiwataja kwa majina ili kuwapa heshima...

1. BLACK MOSESS(RIP)

2. BOB KASSIM

3. BOSCO COOL J

4. KELLY JOHN

5. ALI BAUCHA

6. DIGA DIGA

7. KID FRASH(RIP)

8. MAX

Haya mdau na wewe endelea.... Na Si vibaya ukataja hata ukumbi ulikokuwa unashuhudia baadhi ya mashindano ya hawa jamaa.

Nawakilisha.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread