Tumkumbuke Nicholaus Zengekala

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:07 AMReplies 0 · Views 0
#1
Wapendwa wana JF

Leo ningependa tumkumbuke Hayati Nicholaus Zengekala ambaye alikuwa mwanamuziki asiyeona (kipofu).

Ninakumbuka Nyimbo zake kama SOLEMBA, na JACK MTOTO WA NAIROBI

Huyu ndugu kwa wanaomkumbuka aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha; katikati ya miaka ya 80 ambapo mie hadi leo sijui kisa cha kilichopelekea kuuwawa kwake.


Ninawaomba wana JF wenye habari kuhusu huyu ndugu marehemu watupashe.

Asanteni.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread