TiGO mnatufukuza wateja wenu bila kujijua

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 1:55 AMReplies 0 · Views 0
#1
Hawa tigo walitangaza kwamba uki top up salio lako kwanzia buku litakua doubled. Cha ajab kila nkiweka wanauchuna af kesho yake wanajifanya kuommba radhi na wananipa dk.13 za kuongea. Nikafanya calculcation nikagundua hata hzo dakika wanazokupa siyo actual. Je hili tatizo ni kwang peke yang au kuna wakuu wengine limewakuta?


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread