Tatizo la kukosa hamu ya kula kwa mtoto mdogo miaka 8

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:04 AMReplies 0 · Views 4
#1
Wakuu ukweli mtoto wangu mwenye umri wa miaka 8 ana tatizo kubwa la kuto kula na hii inatusumbua sana sisi wazazi wake wakuu naomba ushauri ama mwenye kujua tiba atujuze. Nawasilisha


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread