Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 1:25 AMReplies 0 · Views 0
#1
Anajulikana kwa jina la Seky, alikuwa muajiriwa tanzanite one.


Kafariki leo inasemekana alikalia stuli ya kioo ikapasuka na kumjeruhi mgongoni.


==========


Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga (Seky) enzi za uhai wake, (RIP)..


===========


Wakati huohuo, mfalme wa mitandao yote ya jamii, W. Malecela a. K. A Le Mutuz (54), ametoa le tamkozi kuhusu kifo cha mfanyabiashara kama ifuatavyo;


Pia tujikumbushe mahusiano ya Lulu na Seky yalipoanza, habari juu ya mahusiano yao iliwekwa JF Tarehe 1/4/2014.


Lulu 'Elizabeth Michael', aingia kwenye bifu zito na Miss Tanzania 2012, baada ya kumpora bwana wake


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread