Sababu gani zilifanya Jay Jay Okocha asitwae Ballon D' or enzi zake?

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 2:35 AMReplies 0 · Views 6
#1
Wakuu karibuni tujadili sababu zilizomfanya fundi wa soka toka Nigeria na Africa kwa ujumla, Austin Jay JAy Okocha kushindwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia enzi zake akisakata kabumbu licha ya uwezo na kipaji maridhawa cha hali ya juu alichokuwa nacho.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread