Ninataka kufungua duka la vitabu (book shop) Nina 5M, naomba ushauri

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 10:40 AMReplies 0 · Views 0
#1
Habari za asubuhi wana jamii forum. Nataka kufanya biashara ya kuuza vitabu vya shule kwa ngazi zote. Kuanzia nursery mpaka secondary ila sijajua sehemu ya kuvipata kwa jumla na pia mtaji wake. Mimi nategemea kuanza na 5million na nitakuwa mbeya.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread