Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 1:59 AMReplies 0 · Views 0
#1
Habari za asubuhi wadau.


Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90.


Naombeni mnishauri kwenye hili wadau, niache au nichukue mkopo huu?


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread