Nina mtaji wa Tsh. 2, 000, 000 nataka kufungua biashara ya nywele bandia

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 8:13 AMReplies 0 · Views 5
#1
Habari ndugu zangu nina mtaji wa milion mbili nataka kufungua biashara ya nywele bandia nikimaanisha wiving, rasta, mawigi na vitu vidogo vidogo vya urembo wa akina dada kama mikufu, hereni, bangili nk.


Naomba mwenye uzoefu na hii biashara anisaidie kunifahamisha changamoto na faida ya hii biashara na mzigo naweza kuchukulia wapi kwa bei ya jumla, na je kwa huu mtaji wangu unatosha.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread