Nina mill Tshs milioni 20, naomba ushauri wa mradi wa kufanya

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 10:46 AMReplies 0 · Views 3
#1
Najaribu kuangalia ni mradi gani naweza kuuanzisha kwa kiasi hicho nashindwa. Naombeni ushauri, eneo nilipo kuna umeme, maji na huduma zingine.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread