Nina Mil 30, nifanye biashara gani kurudisha pesa na kupata faida ndani ya mwezi?

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 8:15 AMReplies 0 · Views 4
#1
Wadau, salaaam?


Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu.


Ushauri pls..


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread