Naomba kujuzwa jinsi ya kupakua cheti cha uviko 19

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 10:08 AMReplies 0 · Views 5
#1
Wakuu nakuja kwenu nikiomba msaada wa kuelekezwa jinsi ya kupakua cheti cha uviko 19 baada ya kupata chanjo na kupewa ile kadi ya kumbukumbu ila bado sijapata kile cha kidigitali naomba msaada wa anayefahamu jinsi ya kukipata


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread