Husika na habari hapo juu,
Naomba nijuzwe gharama zikoje kuhusu chanjo za kinga ya huu ugonjwa. Najua inatakiwa sindano tatu yaani kila moja baada ya muda Fulani ila sijajua gharama zake,
Naomba nijuzwe gharama zikoje kuhusu chanjo za kinga ya huu ugonjwa. Najua inatakiwa sindano tatu yaani kila moja baada ya muda Fulani ila sijajua gharama zake,
No reactions yetReply / React