Msaada: Nataka kuboresha biashara yangu ya bar

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 10:52 AMReplies 0 · Views 4
#1
Wanajamvi wenzangu, mimi nina bar yangu, ambayo location yake ipo mafichoni kidogo, na watu si wengi.


Uendeshaji wake mwanzo kabla sijaichukua ulikuwa mbovu kutokana na mmiliki kuishi mbali.


Sasa nimeichukua na nataka nifanye maboresho, je ni vitu gani niongeze tofauti na wahudumu.


Ili iweze kuwa na tija. Natanguliza shukurani.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread