Msaada: Bajeti ya kuanzisha kiwanda cha kutengeneza maji ya kunywa inaweza kuwa kiasi gani?

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 1:56 AMReplies 0 · Views 4
#1
Wakuu habari,


Ningependa kujua ni budget ya kiasi gani inatakiwa kwenye kuanzisha kiwanda cha maji ya kopo, kama Kilimanjaro & Uhai?


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread