Kwa nini kukata 'kakofia'?

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:07 AMReplies 0 · Views 4
#1
Kama kazi ya MUNGU haina makosa, kwa nini kina baba tunakata 'vikofia' vya 'fimbo shughuli' kwa kisingizio cha ustaarabu wa Mashariki ya kati (yaani kama wanavyofanya Wayahudi na Waislam-kutahili)?


Mie napanga kuwashitaki wazazi wangu wanirudishie 'kikofia' changu.


Naomba ushauri kabla ya kuchukua hatua hiyo.: target:: target:: target:


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread