Kumbukumbu ya watoto wa mujini waliotutangulia! Unamuongeza nani?

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:07 AMReplies 0 · Views 3
#1
Jamani kama mdau wa zamani natoa heshima.. Kwa kaka Michu.. HILI chapisho lipo pale kwake nimeona nililete hapa seating room.... Samahani kama nimewakwaza... Lakini hiyo list imenikumbusha mbali sana waakati tunakula raha kuanzia Rungwe club, pink coco, Tazara, iMASCO, mbowe club, Legion, gymkhana, Langata, Wale wa Lango la jiji, resort club-safari sound, makondeko.. Jamani ni watu waliokuwa na roho nzuri sana..... Iwe kwenye starehe, michezo au mambo ya kijamii.....


Ni wazi hapa tutapenda pia watu Kama FMES wachangie.. Kwani wanaweza kuongezea hii list kama kuna walio sahaulika... Au if we can share some of the moments za hawa washkaji kama kuwaenzi!


Kumbu kumbu itakuwa tarehe 11/12 PALE LEADERS CLUB!!!

RIP

http://issamichuzi.blogspot.com/2010/12/kumbukumbu-kwa-marehemu-marafiki.html#comments


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread