Kiuno kinauma sana.

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 9:24 AMReplies 0 · Views 5
#1
Habari wana Jf.


Kama nilivyoainisha hapo juu, kiukweli naumwa sana na kiuno yaani nikijikunja kidogo kama nataka kuangukia nyuma napata maumivu makali sana. Kuna siku kiliuma mpaka nikaomba niwekewe kitu kizito kiunoni huku nimelala toka siku hiyo ndo mpaka leo bado kinauma.


Msaada tafadhali


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread