Kansa ya koo

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:06 AMReplies 0 · Views 0
#1
Je ni kweli kuwa mwanaume anayelamba sehemu za siri za mwenzi wake ana hatari kubwa ya kupata cancer ya koo? Kama ni kweli kuna namna yeyote mtu anaweza kucheki kama ameshaanza kupata hiyo athari na namna ya kupunguza makali yake?


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread