Kampuni ya Tahmeed yaleta mabasi mfano wa ndege

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 1:51 AMReplies 0 · Views 0
#1
Mama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing, kwani hadi sasa ndiyo mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. Niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa Watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.


Tahmeed coach

Your comfort


Is our concern


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread