Ipi yenye faida, kati ya biashara ya kutembeza (kufuata wateja), au ya kukaa mahali kusubiri wateja?

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 10:50 AMReplies 0 · Views 2
#1
Hello wana jamii forums


Mimi nimejaribu kuangalia jinsi biashara zinavyoenda hususani Moshi, nimeona kuna utendaji wa biashara wa aina mbili kutembeza na nyingine kukaa kusubiria wateja, mfano biashara ya nguo, viatu, ndizi naona kuna wanaotembeza na wanao kaa mahali kusubiria wateja. Ipi ni nzuri kati ya hizi na ipi yenye faida biashara ya kutembeza au kukaa kusubiria wateja.


Nahitaji mchango wenu wa mawazo.


Asanteni


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread