Gonorea and Kaswende

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:07 AMReplies 0 · Views 0
#1
Hello JF


Kuna magojwa ambayo ni vyema kujua na si vyema kuyapata... Na ni vyema kujua namna ya kujikinga nayo... Magojwa taja hapo juu ni yapo na yanatibika.


Ingawa watu wanaona aibu kwenda kuyatibu ndiyo maana wakati mwingine huwapa watu wenye ujasiri ruhusu ya kwenda kuuliza sehemu kama hii JF.


Swali Ukiugua magojwa haya kwa pamoja.... Effect zake baada ya kukaa nao ugojwa kwa muda wa wiki mbili bila matibabu au kukaa muda mrefu bila matibabu ni nini? Hasa kama unakuwa husikii maumivu lakini usaa unaona mara moja kwa siku...?


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread