Gharama za kwenda China

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 1:57 AMReplies 0 · Views 0
#1
Habari za jioni wakuuu, mimi ni mfanyabiashara wa nguo aina zote huwa nanunua mzigo wangu Kariakooo, nataka kufata mzigo China gharama zikoje. Natakiwa niwe na sh ngapi ili niweze kununua mzigo wa kutosha anayejua anijuze


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread