- Joined
- Mar 14, 2026
- Messages
- 33,422
Habari wanajamvi, nina 15m. Mfukoni nataka niiweke katika biashara, katika kauchunguzi nilikokafanya nimegundua wilaya hii ninayoishi hakuna studio kubwa za kuprint photographic images... So I want to invest in it.
Ninaomba wanaojua gharama za vitu vya msingi vinavyohitajika wanijuze please..
Natanguliza shukrani.
Ninaomba wanaojua gharama za vitu vya msingi vinavyohitajika wanijuze please..
Natanguliza shukrani.