Biashara yenye pesa nyingi huwezi ikuta ikipambanuliwa mitandaoni hata siku1

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 8:17 AMReplies 0 · Views 5
#1
Yaani ukiona biashara flani inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hiyo.


Hata kama ina hela bas ni vijihela


We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...


Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko


Uzi tayar


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread