Biashara ya Uchawi Tanzania

PamojaForums · Sep 5, 2026 at 4:23 PMReplies 0 · Views 0
#1
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi

1. Tanga ndio kinara

2. Lindi unafuatilia

3. Dar es Salaam

4. Mtwara

5. Tabora

6. Kigoma

7. Mwanza


Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi

1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara

2. Ruvuma inafuatialia

3. Mbeya

4. Singida


Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi

1. Kilimanjaro inaongoza

2. Morogoro inafuatilia

3. Kagera


Wateja wengine wa wachawi

1. Wafanyabiashara

2. Wasanii

3. Kina mama wa nyumbani

4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.


 

Original publication date: 2026-09-05
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread