Biashara ya Mpesa na Airtel Money kwa mtaji wa Milioni 4

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 10:54 AMReplies 0 · Views 0
#1
Wana jamvi nahitaji kufungua biashara ya mpesa na airtel money! Nina milioni 4 cash... Naomba mwenye uzoefu na kazi hii anipe mchanganuo wa huo mtaji na kama kuna faida ya kutosha nitakayopata kulingana na mtaji huo... Nawasilisha


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread