Biashara ya mashudu ya alizeti kwa wanaofuga

PamojaForums · Sep 6, 2026 at 11:05 AMReplies 0 · Views 0
#1
Haya wanajamvi nipo mbioni kufunga mashine ya kukamua mafuta ya alizeti maeneo ya Makambako ktk mkoa mpya wa njombe, Kwa wale wanaohitaji mafuta ya alizeti na wafugaji wanaohitaji mashudu ya alizeti wanitafute tufanye biashara.


 
No reactions yetReply / React
Continue the discussion on PamojaForumsOpen full thread