Bandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3, walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
Kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
Kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
No reactions yetReply / React